Kama Mbunge anawakilisha Kundi fulani la Kijamii ina maana anawakilisha pia taswira ya wananchi anaowawakilisha. Nimemuona Mbunge mteule Vicky Kamata na Catherine Magige wakiwa na Vihereni Miguuni..Japo Wanajiwakilisha wenyewe lakini wanawawakilisha waliowapendekeza kwa Mkuu.. Hebu wasituchafulie Bunge letu...Bunge si Jukwaa la MITINDO. Naomba mavazi na mapambo ya kichangudoa yapigwe marufuku Bungeni ili kulinda maadili ya Bunge
Mwanamtandao
Huu ni Muungano wa Wanaharakati,Wanahabari,Wanasheria na Wananchi wa Kawaida wenye nia Njema ya Kurekebisha Maadili ya Watanzania. Hapa Utapata Habari kuhusu Uvunjwaji wa Maadili na Uonevu wa Makundi Maalumu ya Kijamii. Tuungane Kutokomeza Uonevu na Unyanyasaji dhidi ya Wasio weza Kujitetea wenyewe. Wasiliana nasi kwa barua pepe: uadilifu@yahoo.com
Posti Maarufu
-
VIONGOZI WA UMMA WALIOKO KATIKA ORODHA HII WAMEKIUKA NA/AU KUVUNJA MASHARTI YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO (Kwa Hisani ya Website ya Chade...
-
Hii ni Barua iliyo tumwa kwa VC na DVCAA wa SAUT KUHUSU UDHALILISHAJI WA WANAFUNZI HASA WA MWAKA WA KWANZA Ndugu, 'Maadili' au ...
-
“………..nikiwa nimejipumzisha chumbani kwangu,chumba ambacho kipo mahali ambapo kwa lugha ya wenyewe tuyaita ‘Hostel’,ghafla mlango ulifunguli...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment