Posti Maarufu

Thursday, November 11, 2010

MAVAZI YASIYO NA MAADILI YAPIGWE MARUFUKU BUNGENI

Kama Mbunge anawakilisha Kundi fulani la Kijamii ina maana anawakilisha pia taswira ya wananchi anaowawakilisha. Nimemuona Mbunge mteule Vicky Kamata na Catherine Magige wakiwa na Vihereni Miguuni..Japo Wanajiwakilisha wenyewe lakini wanawawakilisha waliowapendekeza kwa Mkuu.. Hebu wasituchafulie Bunge letu...Bunge si Jukwaa la MITINDO. Naomba mavazi na mapambo ya kichangudoa yapigwe marufuku Bungeni ili kulinda maadili ya Bunge


Mwanamtandao

No comments:

Post a Comment